Nili baya
Nili baya. siliandika blagu yangu. Lakini, sasa hivi, nita andika.
Juzi, nili kazi.... wapi? Ethiopia. Nita somesha Kiingereza watoto.
Wanaelewa Kiingezera? Sasa hiivi, hapana, lakini baada ya nili somesha, wanaelewa Kiingezera!
Natumai Kwamba nita safiri Afrik. Nina taka kukwenda Kenyani na Tanzaniani. Lakini, mwalimu yangu ana toka Tanzania, na huna mzuri, labda sita kwenda Tanzania ikiwa wote wana kama hii.

2 Comments:
Kenyani = Kenya
Tanzaniani = Tanzania
Sliandika blagu yangu = Sikuandika blogu yangu
Sitakwenda Tanzania ikiwa wote wana kama hii = Sitakwenda Tanzania ikiwa wote ni kama yeye (yeye, wao, nyie, wewe,sisi)
Post a Comment
<< Home